Katiba ya Kenya ndiyo sheria kuu kabisa ya Jamhuri ya Kenya. Katiba ya mwaka 2010 ilichukua nafasi ya katiba ya wakati wa uhuru ya mwaka 1963.
Katiba ya Kenya iliandikwa mwaka gani?
Ground Truth Answers: 20102010
Prediction:
Katiba hiyo alipatiwa Mwanasheria Mkuu wa Kenya tarehe 7 Aprili 2010, ikachapishwa rasmi tarehe 6 Mei 2010 na kuwekewa kura ya maoni tarehe 4 Agosti 2010[1].
Katiba ya Kenya iliandikwa mwaka gani?
Ground Truth Answers: 2010
Prediction: